S1E8 [Part 2] Simu Sio Chanzo za Migogoro kwenye Mahusiano ft. Teacher Gonza

LENZI Podcast with Michael Kamukulu

22-07-2023 • 24 mins

Katika ulimwengu huu ambao matumizi ya simu na mitandao ya kijamii yamekuwa makubwa, simu zinadhaniwa kuwa mojawapo ya vyanzo vikuu vinavyosababisha migogoro na kuvunjika kwa mahusiano na ndoa. Msikilize Michael Kamukulu pamoja na Teacher Gonza wakielezea ni kwa namna gani simu SIO chanzo cha migogoro ya mahusionao kama wengi wanavyodhani.